Habari
-
WATAALAMU MIPANGOMIJI WATAKIWA KUTOA MAPENDEKEZO MAREJEO SERA YA MAENDELEO YA MAKAZI
Wataalamu wa mipangomiji nchini wametakiwa kushiriki katika mchakato wa marejeo ya Sera ya Maendeleo ya Makazi ya mwaka 2000 ili kuhakikisha sera mpya inakidhi mahitaji ya sasa na kutatua changamoto zinazoikabili sekta ya makazi.
Jun 17, 2026 Soma zaidi -
​WAKURUGENZI WA KAMPUNI ZA MIPANGOMIJI WAISHUKURU TPRB KWA KUWAJENGEA UWEZO
Wakurugenzi wa kampuni za mipangomiji zilizosajiliwa Tanzania Bara wameishukuru Bodi ya Usajili wa Wataalam wa Mipangomiji (TPRB) kwa kuwapa mafunzo maalum ya kuwajengea uwezo katika kuboresha utendaji wao wa kazi na kuongeza ufanisi katika sekta ya mipangomiji nchini.
Apr 21, 2026 Soma zaidi -
RAIS WA TITP AIPONGEZA TPRB KWA KUWAJENGEA UWEZO WAKURUGENZI WA KAMPUNI ZA MIPANGOMIJI
Rais wa Chama cha Wataalam wa Mipangomiji Tanzania (TITP), Dkt. Juma Matindana, ameipongeza Bodi ya Usajili wa Wataalam wa Mipangomiji (TPRB) kwa kuandaa mafunzo maalum ya kuwajengea uwezo wakurugenzi wa kampuni za mipangomiji zilizosajiliwa Tanzania Bara.
Apr 21, 2026 Soma zaidi -
TPRB YATOA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAKURUGENZI WA KAMPUNI ZA MIPANGOMIJI TANZANIA BARA
Wakurugenzi wa kampuni za mipangomiji zilizosajiliwa Tanzania Bara wamepatiwa mafunzo maalum ya kuwajengea uwezo katika kuboresha utendaji wao wa kazi na kuongeza ufanisi katika sekta ya mipangomiji nchini.
Apr 21, 2026 Soma zaidi -
WAKURUGENZI WA KAMPUNI ZA MIPANGOMIJI WATAKIWA KUONGOZA MAGEUZI YA SEKTA
Wakurugenzi wa kampuni za mipangomiji zilizosajiliwa Tanzania Bara wametakiwa kuongoza mageuzi yatakayochochea ukuaji wa sekta ya mipangomiji na kuhakikisha miji inapangwa kwa kuzingatia viwango vinavyokidhi mahitaji ya sasa na ya baadaye.
Apr 21, 2026 Soma zaidi -
WATUMISHI WA TPRB WASHIRIKI KAMPENI YA KITAIFA YA UPANDAJI MITI KUIMARISHA UHIFADHI WA MAZINGIRA
Watumishi wa Bodi ya Usajili wa Wataalam wa Mipangomiji (TPRB) wameungana na Watanzania wengine katika kampeni maalumu ya kitaifa ya upandaji miti, ikiwa ni sehemu ya mkakati ya kuhifadhi mazingira na kumtakia heri ya Siku ya Kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Jan 28, 2026 Soma zaidi


