Dira na Dhima

Dira

Kuwa na Wataalamu na Kampuni za Mipangomiji zinazofanya kazi kwa Weledi wa hali ya juu katika kutoa huduma bora zinazonufaisha jamii na kulinda maslahi ya umma.

Dhima

Kuimarisha weledi kwa kusajili, kutoa elimu, kufanya utafiti, na udhibiti wa taaluma ya mipangomiji kwa lengo la kuboresha viwango vya kazi za Mipangomiji nchini.