Dira na Dhima
Dira
Kuwa na Wataalamu na Kampuni za Mipangomiji zinazofanya kazi kwa Weledi wa hali ya juu katika kutoa huduma bora zinazonufaisha jamii na kulinda maslahi ya umma.
Dhima
Kuimarisha weledi kwa kusajili, kutoa elimu, kufanya utafiti, na udhibiti wa taaluma ya mipangomiji kwa lengo la kuboresha viwango vya kazi za Mipangomiji nchini.
Habari Mpya
-
WATAALAMU MIPANGOMIJI WATAKIWA KUTOA MAPENDEKEZO MAREJEO SERA YA MAENDELEO YA MAKAZI
Jun 17,2026 Soma zaidi -
​WAKURUGENZI WA KAMPUNI ZA MIPANGOMIJI WAISHUKURU TPRB KWA KUWAJENGEA UWEZO
Apr 21,2026 Soma zaidi -
RAIS WA TITP AIPONGEZA TPRB KWA KUWAJENGEA UWEZO WAKURUGENZI WA KAMPUNI ZA MIPANGOMIJI
Apr 21,2026 Soma zaidi
Soma Habari zaidi
Matangazo
-
MAHITAJI YA USAJILI WA AFISA MIPANGOMIJI MWENYE USAJILI KAMILI
Feb 06, 2026 Angalia Zaidi -
UTARATIBU WA KUSAJILIWA
Feb 06, 2026 Angalia Zaidi -
TAARIFA KWA UMMA
Jan 09, 2026 Angalia Zaidi -
KUHUISHA LESENI
Dec 10, 2025 Angalia Zaidi
Matangazo Zaidi


