TANGAZO LA KUSAJILI WATAALAM WA MIPANGOMIJI NA KAMPUNI ZA UPANGAJI MIJI
Bodi ya Usajili wa Wataalam wa Mipangomiji inawatangazia
Watalaam wa Mipangomiji wote wenye sifa ya kusajiliwa na
bado hawajasajiliwa kuwa Bodi inategemea kufanya kikao cha
kusajili watalaam wa Mipamgomiji na Kampuni za Upangaji Miji
mwanzoni mwa mwezi Julai, 2024.
Bodi inapokea maombi kwa ajili ya usajili, mwisho wa kupokea
maombi hayo ni siku ya Jumanne tarehe 02/07/2024, maombi
yote yawasilishwe Ofisi ya Msajili, S. L. P. 1150, 41102
DODOMA. Simu: +255 (026) 232 3833, +255 739 504 222.
Kwa taarifa zaidi ingia kwenye tuvuti ya Bodi ya Usajili wa
Watalaam wa Mipangomiji- www.tprb.go.tz
Limetolewa na:
TP. Lucas A.Mwaisaka
MSAJILI
BODI YA USAJILI WA WATAALAM WA MIPANGOMIJI
06/06/2024