Habari

  • news image

    TANGAZO LA KUSAJILI WATAALAM WA MIPANGOMIJI NA KAMPUNI ZA UPANGAJIMIJI

    Bodi ya Usajili wa Wataalam wa Mipangomiji inawatangazia Watalaam wa Mipangomiji wote wenye sifa ya kusajiliwa na ambao bado hawajasajiliwa kuwa Bodi inategemea kufanya kikao cha kusajili watalaam wa Mipangomiji na Kampuni za Upangaji Miji mwishoni mwa mwezi Januari, 2025.

    Jan 04, 2025 Soma zaidi
  • news image

    Msajili wa TPRB akizungumza na waandishi wa habari kuhusu AGM - 9

    Msajili wa Bodi ya Usajili wa Wataalam wa Mipangomiji akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Mkutano Mkuu wa Tisa wa Mwaka wa Mipangomiji

    Dec 05, 2024 Soma zaidi
  • news image

    Mada zilizowasilishwa kwenye AGM - 9

    Mada zilizowasilishwa kwenye AGM - 9

    Dec 05, 2024 Soma zaidi
  • news image

    KUAHIRISHWA KWA MKUTANO MKUU WA TISA WA MWAKA WA WATAALAM WA MIPANGOMIJI

    KUAHIRISHWA KWA MKUTANO MKUU WA TISA WA MWAKA WA WATAALAM WA MIPANGOMIJI

    Oct 01, 2024 Soma zaidi
  • news image

    USAJILI !!

    Usajili wa Wataalam wa Mipangomiji na Kampuni za Upangaji Miji

    Oct 01, 2024 Soma zaidi
  • news image

    MADENI YA MWAKA!!

    Bodi ya Usajili wa Wataalam wa Mipangomiji inawajulisha Wataalam wote wa mipangomiji ambao ni waajiriwa serikalini na wamelimbikiza madeni yao ya ada za mwaka kuhakikisha wanalipa madeni yao kabla ya tarehe 30/09/2024

    Aug 19, 2024 Soma zaidi