Habari
-
TANGAZO LA KUSAJILI WATAALAM WA MIPANGOMIJI NA KAMPUNI ZA UPANGAJIMIJI
Bodi ya Usajili wa Wataalam wa Mipangomiji inawatangazia Watalaam wa Mipangomiji wote wenye sifa ya kusajiliwa na ambao bado hawajasajiliwa kuwa Bodi inategemea kufanya kikao cha kusajili watalaam wa Mipangomiji na Kampuni za Upangaji Miji mwishoni mwa mwezi Januari, 2025.
Jan 04, 2025 Soma zaidi -
Msajili wa TPRB akizungumza na waandishi wa habari kuhusu AGM - 9
Msajili wa Bodi ya Usajili wa Wataalam wa Mipangomiji akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Mkutano Mkuu wa Tisa wa Mwaka wa Mipangomiji
Dec 05, 2024 Soma zaidi -
Mada zilizowasilishwa kwenye AGM - 9
Mada zilizowasilishwa kwenye AGM - 9
Dec 05, 2024 Soma zaidi -
KUAHIRISHWA KWA MKUTANO MKUU WA TISA WA MWAKA WA WATAALAM WA MIPANGOMIJI
KUAHIRISHWA KWA MKUTANO MKUU WA TISA WA MWAKA WA WATAALAM WA MIPANGOMIJI
Oct 01, 2024 Soma zaidi -
USAJILI !!
Usajili wa Wataalam wa Mipangomiji na Kampuni za Upangaji Miji
Oct 01, 2024 Soma zaidi -
MADENI YA MWAKA!!
Bodi ya Usajili wa Wataalam wa Mipangomiji inawajulisha Wataalam wote wa mipangomiji ambao ni waajiriwa serikalini na wamelimbikiza madeni yao ya ada za mwaka kuhakikisha wanalipa madeni yao kabla ya tarehe 30/09/2024
Aug 19, 2024 Soma zaidi