USAJILI WA WATAALAM WA MIPANGOMIJI NA MAKAMPUNI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI

BODI YA USAJILI WA WATAALAM WA MIPANGOMIJI

TANGAZO LA KUSAJILI WATAALAM WAMIPANGOMIJI NA KAMPUNI ZA UPANGAJI MIJI

Bodi ya Usajili wa Wataalam wa Mipangomiji inawatangazia Watalaam wa Mipangomiji wote wenye sifa ya kusajiliwa na bado hawajasajiliwa kuwa Bodi inategemea kufanya kikao cha kusajili watalaam wa Mipangomiji na Kampuni za UpangajiMiji mwishoni mwa mwezi Disemba, 2023.

Bodi inapokea maombi kwa ajili ya usajili, mwisho wa kupokea maombi hayo ni siku ya Ijumaa tarehe 29/12/2023, maombi yote yawasilishwe Ofisi ya Msajili, S. L. P. 1150, 41102 DODOMA. Simu: +255 (026) 232 3833, +255 739 504 222.

Kwa taarifa zaidi ingia kwenye tovuti ya Bodi ya Usajili wa Watalaam wa Mipangomiji-www.tprb.go.tz

Limetolewa na:

TP. Mathias M. Mkumbo

KAIMU MSAJILI

BODI YA USAJILI WA WATAALAM WA MIPANGOMIJI

15/11/2023

Barabara ya Maktaba, S. L. P. 1150, 41102 DODOMA. Simu: +255 (026) 232 3833,+255 753 504 222,

Tovuti: http//www.tprb.go.tz, Baruapepe: registrar@tprb.go.tz